Taarifa ya Spika Ndugai kuhusu kujiuzulu mh. Nyalandu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema amepokea barua ya Katibu Mkuu CCM ikimuarifu kuwa walishaanza kumchukulia hatua Nyalandu kutokana na kauli na vitendo vyake. Ambapo CCM imeeleza kuwa Oktoba 30 walimuandikia Spika barua kuwa, Nyalandu amepoteza sifa za uanachama wake na kwamba wamemvua nafasi zote za uongozi, hata hivyo Spika amesema kuwa hajapokea barua ya kujiuzulu kwa mbunge huyo.


Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

Askari Aliyekuwa Akifanya Mapenzi na mfungwa ajinyonga