Roboti apewa urai wa Saudi Arabia

Roboti aliepewa jina la Sophia apewa uraia nchini Saudi Arabia. kwa mujibu wa mtandao wa turkey imeeleza kuwa ni kwa mara ya kwanza ulimwenguni roboti kupewa uraia.

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

HISTORIA: Ernesto Guevara