Raila Odinga apuuzia uchaguzi wa marudio uliofanyika

Kiongozi wa Muungano wa Upinzani (NASA) Raila Odinga amepuuzia uchaguzi wa marudio uliofanyika na kusema haukuwakilisha Wakenya walio wengi na anajiandaa kwa uchaguzi mwingine utafanyika baada ya siku 90 baada ya malalamiko yao kufanyiwa kazi

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

HISTORIA: Ernesto Guevara