Mayanga alimpigia Ronaldo ashinde Tuzo ya FIFA

Kocha wa timu ya taifa, Taifa Stars, Salum Mayanga alimchagua Ronaldo kushinda tuzo ya mwanasoka bora wa Fifa.

Hafla ya tuso hizo ilifanyika jana jijini London nchini England na Mayanga alimchagua Ronaldo kama mshindi.

Kawaida, wanaopiga kura hutakiwa kuchagua wachezaji watatu na Mayanga nafasi ya pili alimpa Lionel Messi na nafasi ya tatu akaitoa Neymar wa PSG.

Kawaida makocha hupiga kura kila mmoja akichagua wachezaji watatu na nafasi ya kwanza ikiwa na kura nyingi zaidi.


Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

HISTORIA: Ernesto Guevara