Everton kuifuata Chelsea Kwa Treni

Wayne Rooney akiwa na wachezaji wenzake wa Everton kwenye stesheni ya treni leo kwa safari ya London kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Carabao dhidi ya wenyeji, Chelsea kesho ambao utakuwa wa kwanza kocha wa muda, David Unsworth aliyepewa nafasi ya Ronald Koeman aliyefukuzwa.

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

HISTORIA: Ernesto Guevara