Shinikizo la damu. Chanzo na Tiba yake

Nini maana ya shinikizo la damu? Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu. Shinikizo la damu hupimwa kwa kutumia kifaa kinachoitwa Sphygmomanometer Shinikizo la damu husababishwa na nini? Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu: Uvutaji sigara Unene na uzito kupita kiasi Unywaji wa pombe Upungufu wa madini ya potassium Upungufu wa vitamin D Umri mkubwa Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin) Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin Uanishaji wa shinikizo la damu Presha ya kawaida

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

Askari Aliyekuwa Akifanya Mapenzi na mfungwa ajinyonga