Rais wa kwanza wa kosovo afariki dunia
Rais wa kwanza wa Kosovo Bayram Recepi amefariki dunia baada ya kukutwa kapungukiwa damu katika ubongo. Kiongozi huyo amefariki katika moja ya hospitali nchini Uturuki alipokwenda kutibiwa. Kwa mujibu habari,bwana Recepi alikuwa rais wa kwanza wa Kosova mnamo mwaka 2002 mwezi Machi. Recep alisomea udaktari na kuishia kuwa rais wa kwanza wa nchi hiyo kupitia chama cha KDP.
Comments
Post a Comment