Rais wa kwanza wa kosovo afariki dunia

Rais wa kwanza wa Kosovo Bayram Recepi amefariki dunia baada ya kukutwa kapungukiwa damu katika ubongo. Kiongozi huyo amefariki katika moja ya hospitali nchini Uturuki alipokwenda kutibiwa. Kwa mujibu habari,bwana Recepi alikuwa rais wa kwanza wa Kosova mnamo mwaka 2002 mwezi Machi. Recep alisomea udaktari na kuishia kuwa rais wa kwanza wa nchi hiyo kupitia chama cha KDP.

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

Askari Aliyekuwa Akifanya Mapenzi na mfungwa ajinyonga