Mnara wa Lucky Vicent

Wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent waliorejea jana nchi kutoka Marekani watafika shuleni kwao leo. Pia kutafanyika uzinduzi wa mnara wa kumbukumbu ya vifo vya wanafunzi 32,walimu wawili na dereva mmoja vilivyotokea Mei mwaka huu. Wanafunzi ambao walinusurika na kupelekewa kwa matibabu nchini Marekani waliorejea jana ni Doreen mshana,Sadia Awadh na Wilson Tarimo Mwananchi:

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

HISTORIA: Ernesto Guevara