Messi atupia mbili , Barca ikiua 2-0

Mshambuliaji Lionel Messi akifumua shuti kwa guu la kushoto kumfunga kipa wa Alaves, Fernando Pacheco kuipatia Barcelona bao la kwanza dakika ya 55 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Mendizorroza mjini Vitoria-Gasteiz leo, bao la pili akifunga Muargentina huyo dakika ya 66.

Comments

Popular posts from this blog

Faida ya kutumia ganda la Ndizi mbivu

Kurudisha nguvu za kiume

HISTORIA: Ernesto Guevara